KAMARORO KE LISISIMUKHA,BUNGOMA . PROF.BONAVENTURE WANJALA KERRE OMWENENDEBE BUKUSU COUNCIL OF ELDERS-KIMILILI LILANDA LIE SIBUKUSU NE PROF.KERRE NE BAYETI BEWE DAYIREKITA PRIVER TOYWA NE EKOKWA YE BASAKHULU BABUKUSU Sikhale khukhwiyamanwa khuba enjeko khubuli mulala muliloba limufu,engalukhani yekhumanya kumwima kwo omurwo kwabele nekufukilibwa nebakali eyi nabebilila sikhale,lulomo ne kumwima kwe khukhwama mukholo chabwe. Mumakachula nende Omuprofesa Wanjala Kere,oli omwene bisali bie sikhale sio Omubukusu(Bukusu Cultural center-Kamukuywa) mulisasa lia Kimilili mulikunda lie Ebung'oma,abola mbo ekileko engali yakobolele omwana mubukusu khulondekhane ne liliebilila lie kamekesio ke sikhale khumima ne lulomo lwe babukusu. silalakho khu silibwa sie babukusu Omuprofesa Wanjala Kere khuba omwekesi we sisomelo sia angaki sia Eldoret nekhuba omukhalabani we enganga mulirambo lia Kenya enyuma we khukhwiyama...
HISTORIA YA MAREHEMU ZAKAYO MILIMO TUMWA. 1.KUZALIWA Marehemu Zakayo alizaliwa mwaka wa 1982 akiwa mtoto wa pili wa Silas Tumwa(Mutecho)na Everlyne Nafula(Muliuli). KANISA Mwendazake Zake Zakayo Milimo alipokelewa katika matabau ya kanisa la marafiki mwaka wa 1984. ELIMU Mwenda zake Zakayo Milimo alianza elimu yake katika darasa la kwanza katika shule ya msingi ya Kitale stesheni mwaka wa 1987 hadi darasa la pili. 1994 alijiunga na shule ya msingi ya Bokoli Rc katika darasa la tatu na kusoma hadi darasa la name na kufanya mtihani wa kitaifa KCPE na kupita vizuri. Mwaka wa 2000 alijiunga na shule ya upili ya marafiki ya Mahanga katika kidato cha kwanza Hadi 2003 katika kidato cha tatu. Mwaka 2004 alijiunga na shule ya upili ya mtakatifu Maria-Bokoli katika kidato cha nne ambapo alikalia mtihani wa kitaifa wa sekondari KCSE. 2006 Alijiunga na taasisi ya kiufundi ya Matili na kusomea Ujenzi. TOHARI Marehemu alipaswa tohara mwaka wa 1996 akiwa Omusawa nambari 5. KAZI Mwenda zake aliaj...
Familia moja katika kijiji cha Sango-Matunda Milani kata ya Bokoli,Webuye magharibi kaunti ya Bungoma inaomboleza kifo cha mwanao Peter Barasa wa darasa la pili katika shule ya msingi ya Sikimbilo baada ya mwili wake kupatikana kwenye shimo la choo huku sehemu za mwili zikiwa zimekatwakatwa. ( ILANI-PICHA HIZI NI ZA HOFU) sehemu za mwili wa mtoto,Peter Barasa baada ya kuondolewa kwenye shimo la choo. Ukizihitaji tuma ujumbe "picha"kwa whatsapp-0797272770 Akisungumza na kituo hiki mamake mzazi wa mtoto huyo wa miaka minane Bi Lindah Sangura,ameeleza kuwa tangu mwanawe kutoweka Siku ya Jumanne wiki Jana,alishikwa na masikitiko baada ya kupata ripoti kuwa mwili wa mwanawe umepatikana ndani ya choo. Mamake marehemu ambaye ni mjane,aliye na familia ya watoto 10,amesema licha ya mumewe kufariki na kumwachia uzao,hali ya mapato imekuwa ngumu kwenye upande wake ,hali iliyolazimu mzee Wanjala Sitini Kumuridhi,pasipokujua angeweza kutekeleza maafa haya. ...
Comments
Post a Comment